LINAH AWEKA WAZI TETESI ZA KUDANGA NA KUSHINDWA KUFANYA MUZIKI "NI LIFESTYLE YANGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025
  • Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote.
    wasafimedia.co...
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2025 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 61

  • @mathiasgoda
    @mathiasgoda 8 дней назад +1

    Miaka iko kasii sanaa daah😢 bado nakupenda linnah sanga❤❤❤

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 10 дней назад

    Lina wangu nakupendaa mnooo ❤❤❤

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 10 дней назад +8

    UNAYESEMA LINAH MTU MZIMA,,JIPE MIAKA 10 ,,10 TEMU 2 TU,,LAZIMA UFIKE UNLES WAMEKUZIKA,,,,NILICHOGUNDUA WANACOMENT WENGI NI MASKINI NA WENYE WIVU,,,,MTU HUJAWAH HATA KUMUONA UNALETA USHAURI😊,,ISHI YAKO NA YEYE ANAISHI YAKWAKE FULSTOP..

    • @JacquelineMacha-y3n
      @JacquelineMacha-y3n 10 дней назад +1

      Safi sana Hawa wasenge wandhani wao ni mawe hawatazeeka😅

    • @JaneJoseph-km4bo
      @JaneJoseph-km4bo 10 дней назад +1

      Ya. Utadhani wao hawakui. Shenzi kabisa

    • @Assay-gn1wv
      @Assay-gn1wv 10 дней назад

      Usitutishe, mm am 36 na mpaka nikwambie otherwise utajua am 22

    • @HASSANBAKARI-q9c
      @HASSANBAKARI-q9c 10 дней назад +1

      @Assay-gn1wv endelea kuishi tu dada angu....ufikie utu uzima afu uone kama utaitwa mschana,,sawa!!

    • @MatildaMaro-r9u
      @MatildaMaro-r9u 7 дней назад

      Point

  • @RahimAyoub-v9i
    @RahimAyoub-v9i 10 дней назад +1

    Nyusi nyie🎉🎉🎉 nzuri

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 10 дней назад +1

    Yaani nyie ni wambea waoga.ukiamua kuwa mbea usiogope kusutwa mchaga. Ila kwa upande wa Linah mara nyingi ukitokea kanisani ukaenda kwenye miziki ya kidunia hauishii pazuri. Hii nimejifunza hata kwa wine hustone. Nampongeza rubi kwa kukubali kurudi kwa Mungu wake.

  • @BarakaMsukuma-g1q
    @BarakaMsukuma-g1q 4 дня назад

    KUMBE DADA LINA UNA CONFIDENCE MIMI NAONAGA UNA AIBU ZA KUFA MTU

  • @musa-v3f
    @musa-v3f 8 дней назад +1

    ni kweli ni Mzee sasa so what ?

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 10 дней назад +2

    Kukaa uchi waachie watoto ushakua mtu mzima tena ' khaaaa!!!!!

  • @geofreymlegimusimu
    @geofreymlegimusimu 10 дней назад +1

    linah sanga ana mapaja mazuri , hayana michilizi

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 10 дней назад +1

    Mwambie lina nampenda sana nawezaje kumpata

    • @maninhocassamo1525
      @maninhocassamo1525 9 дней назад

      Tafuta hela dogo ndyo dawa pekee ya warembo😅😅😅😅

  • @gladnessshola
    @gladnessshola 5 дней назад

    Mtoto wa baba Askofu?? Mtoto sasa😅😅😅

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 10 дней назад +1

    Edit hizi zinawaumbua watu tukiwaona laivu laivu 😂😂😂 gumshangazi wa ukwee👌

  • @stevengeorgetibenda1647
    @stevengeorgetibenda1647 10 дней назад +1

    Juzijuzi tu alikuwa modo kazuri now fghafla kawa bonge uzuri wote kwisha

  • @RizoIbrahimovich-z4f
    @RizoIbrahimovich-z4f 10 дней назад +3

    Imani ya dini ndo ujiiichore chore hvo pumbavu zako

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 10 дней назад

      Alijichora zamani, haikua na haja ya tusi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 6 дней назад

    huyu lina mmbona kama amekuwa mlevi wa kufa mtu na ame fuia daah life sio poa

  • @A-TownBizzTv
    @A-TownBizzTv 10 дней назад

    Halafu huyo Mshkaji wake anayemzungumzia ni yule aliingia uwanjani kipindi Taifa Stars anacheza na Brazil akaenda kumkumbatia Kaka...

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 10 дней назад

    Kwa nn tunapenda kubandika manywele wanawake.. ona zinavotuumbuwa nywele zote mbele hunyoyoka mbele na baya zaidi hazioti tena

  • @mwasitibett1990
    @mwasitibett1990 9 дней назад

    Jaman muacheni mkamfanya aende kwenye maupasuaji uko asa mtu wa mwaka 1990 mnategemea aweje

  • @felistermwanuke9873
    @felistermwanuke9873 10 дней назад

    Nikwelii kabisaaa tena chunyaaaa

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 10 дней назад +2

    Mtu mzima ❤

    • @RizoIbrahimovich-z4f
      @RizoIbrahimovich-z4f 10 дней назад +1

      @@ameirzapy1318 anachukia kumwita mtu mzima yaan ungekuwa karibu yake angekuua 🤣🤣

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 10 дней назад

      @RizoIbrahimovich-z4f 🤣🤣 kwani uongo

  • @MwambaJimwamba
    @MwambaJimwamba 10 дней назад

    Mnakosaje mike 2 aisee nyie mafala?

  • @SaphinaSamson
    @SaphinaSamson 10 дней назад

    Mi natizama nguo aliyovaa af Mtoto wa Mtumishi kweli Bwana ni mwema

  • @JeremiaAthanas
    @JeremiaAthanas 10 дней назад

    Mbn kakomaa sanaa

  • @benardmapuga4737
    @benardmapuga4737 10 дней назад +2

    Kichwa cha habari ndio majibu yake kukaa vibaya ni muendelezo tu kwa kuvutia wahitaji

  • @enockthefirstboy8893
    @enockthefirstboy8893 7 дней назад

    We kenge ushayakanyaga boya ww

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 10 дней назад +2

    Mashavu yameshashuka

    • @JacquelineMacha-y3n
      @JacquelineMacha-y3n 10 дней назад +1

      Nakuhurumia utakufa vibaya wewe😂😂😂nakupa miaka mi3 tu hata habari hutapewa😅😅

    • @faizamohamed6993
      @faizamohamed6993 10 дней назад +1

      Umri ni daraja kila mja atalivuka

    • @dianaonesmo6951
      @dianaonesmo6951 10 дней назад +1

      Ni swala la mda na ww mashavu yatashukaa kipenz

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 10 дней назад

    Hizi tattoos jaman jitahidini na miili yenu😭😭😭

  • @LinnaPaul-s4x
    @LinnaPaul-s4x 10 дней назад +1

    Nachoamin ni kwamba uzee upo 😢..Huyu dada aache kuvaa hizo nguo anazovaa..tayar umri umesepa

  • @AdamKusaga-k3q
    @AdamKusaga-k3q 10 дней назад

    Hyu ndio Lina mmh

  • @selemanimkwichu782
    @selemanimkwichu782 10 дней назад

    Ashazeeka huyo 😂😂😂😂😂

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 10 дней назад +2

      Kwani wewe uzeeki?acheni chuki

    • @faizamohamed6993
      @faizamohamed6993 10 дней назад +1

      Siku hazigandi na roho pia haizeeki muache na masiha yake

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 9 дней назад

    Maaskofu waliruhusiwa kuzaa kipindiicho??

  • @preciousbenedict5142
    @preciousbenedict5142 10 дней назад +1

    Mzee
    Ninasikia anajiuza…Anatoa hadi nyuma 😅

    • @faizamohamed6993
      @faizamohamed6993 10 дней назад

      Muache na maisha yake hakim ni muumba wake maana huumchangii hata chumvi maishani mwake.

    • @LettyLussi
      @LettyLussi 10 дней назад

      Kipi Sasa Cha ajabu??

    • @beatricejohn1659
      @beatricejohn1659 10 дней назад +1

      Hujui back ground ya mama aliyekuzaa acha kumsemea mtu maneno usiyoyashuhudia.

    • @JosephineMegora
      @JosephineMegora 9 дней назад

      Kwani ye ndo wa kwanza kujiuza au peleka umalaya wako huko wa kimbwambwa

    • @preciousbenedict5142
      @preciousbenedict5142 9 дней назад

      @ kafirwe huko na wewe Ninaona mk*ndu unakuwasha kama wa huyo Shangazi yako Linah
      Uvivu wa kufanya kazi tu

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h 10 дней назад

    😅😅

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 10 дней назад

    Baba yako ni Askofu?????😢… Aiyaaaaaaa🥲..

  • @Naju645
    @Naju645 10 дней назад +1

    Mbona sura inaonyesha kama nimtu mpenda vinywaji vikali sana

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 10 дней назад

    Like she is pregnant

    • @JacquelineMacha-y3n
      @JacquelineMacha-y3n 10 дней назад

      She's not,,anaficha tumbo siunajua unene unakujaga na tumbo lake😅😅